Advert


java

Connectify - Turn Your PC into a Wi-Fi Hotspot. Install now!

Thursday, December 12, 2013

MDAU FRANK KANANI AFUNGA NDOA NA BI. MARIA SABEGA

Mkurugenzi wa blog hii ya Njia ya Kanani Bw. Frank J. Kanani jumamosi ya tarehe 9 Novemba alifunga pingu za maisha na Bi. Maria Sabega katika Kanisa la Anglikana la Mtakatifu Batholomayo lililopo Ubungo jijini Dar-es-Salaam na baadae katika tafrija iliyofanyika katika ukumbi wa Delux Sinza.

Bw. Frank J. Kanani na Bi. Harusi Maria Sabega.

Agano la ndoa.





















Friday, December 6, 2013

NELSON MANDELA AFARIKI DUNIA

Rais wa zamani wa Afrika ya Kusini Bw. Nelson Mandela "Madiba" amefariki dunia jana katika hospitali aliyokuwa amelazwa kwa muda mrefu. Habari kutoka katika chombo kinachoaminika zinasema marehemu Mandela aliaga dunia jana na maandalizi ya mazishi yanafanywa.