Advert


java

Connectify - Turn Your PC into a Wi-Fi Hotspot. Install now!

Monday, September 23, 2013

TUKIO LA KINYAMA WASTGATE MALL NAIROBI TUJIFUNZE.

Shambulio la kigaidi linaloendelea kwa siku ya pili mfululizo katika eneo la biashara la Wastegate mjini Nairobi nchini Kenya inabidi liwe fundisho kwa nchi zote za Afrika kuweka maeneo ya ukaguzi wa silaha kabla ya kuingia katika eneo lolote lenye mkusanyiko wa watu wengi kama maeneo ya biashara (Shopping Malls), Viwanja vya Michezo, Maeneo ya ibada na hata katika viwanja vya maonesho na tafrija kubwa za kitaifa.

Hili litazuia kwa kiasi kikubwa kupunguza matukio ya kigaidi yanayofanya kwa malengo ya kupoteza uhai wa watu. Kitendo hiki kilichotokea Nairobi nchini kenya ni cha kinyama na kinalaaniwa na wote waliotekeleza uchama huo tunaamini watatiwa mbaroni na sheria kufata mkondo wake. Kwa pamoja tunasema poleni sana ndugu zetu wakenya mliopatwa na janga hili na Mungu awalinde.

 Wasgate Shopping Mall kama inavyoonekana

 Askali wakipapanda na magaidi

 Wahanga wa ugaidi


 Mwili wa raia aliyeuawa na magaidi


 Mateka wa ugaidi





 Raia akijiokoa