Advert


java

Connectify - Turn Your PC into a Wi-Fi Hotspot. Install now!

Monday, April 22, 2013

KIVUKO CHA MTO KILOMBERO MOROGORO KINAHITAJI MABORESHO

Hali ya kivuko katika mto Kilomberounaotenganisha Wilaya ya Ifakara na Ulanga mkoani Morogoro kinahitaji maboresho kutokana na ukweli kwamba kipindi cha mvua maj hujaa mtoni na kusababisha ugumu kwa abilia wanaopanda kivuko hicho. Serikali inabidi kutupia jicho kivuko hicho kwani ndicho kinachounganisha kati ya Wilaya hizo mbili.


Kivuko cha mto Kilombero

Picha inaonesha hali halisi ya kivuko maji yakuwa yamejaa ndani ya kivuko
Hapa si kwamba wanavuka mfereji wa maji bali ni abilia wakipanda kivukoni