Advert


java

Connectify - Turn Your PC into a Wi-Fi Hotspot. Install now!

Monday, January 30, 2012

Dr. Mwakyembe Aondoa hofu!!

DK. HARRISON MWAKYEMBE AJITOKEZA NA KUSHIRIKI MISA KWA MCHUNGAJI GWAJIMA KAWE

Mbunge wa Kahama Bw. James Lembeli kushoto , akizungumza na Dk. Harrison Mwakyembe wakati wa ibada hiyo


 Dk Harrison Mwakyembe akishuka katika madhabahu mara baada ya kumalizika kwa ibada

 
Waziri wa Afrika Mashariki Samwel Sitta akiongea katika ibada hiyo na kumkaribisha Dk Harrison Mwakyembe ili kuzungumza machache na waumini wa kanisa hilo na kutoa ushuhuda wake.



 Waziri wa Afrika Mashariki Samwel Sitta akishuka katika madhabahu mara baada ya kumalizika kwa ibada

 
Josephat Gwajima wa kanisa la Ufufuo na Uzima lilloko Kawe Tanganyika Pakers akimkaribisha Dk Harrison Mwakyembe Mbunge wa Kyela na Naibu Waziri wa Ujenzi katika ibada iliyofanyika leo kwenye kanisa hilo na kuhudhuriwa na Waziri wa Afrika Mashariki mzee Samwel Sitta na baadhi ya wabunge kadhaa


Mchungaji Maximilian Machumu wa kanisa la Ufufuo na Uzima akiwa katika ibada

Baadhi ya waumini wa kanisa hilo wakitawanyika baada ya kumalizika kwa ibada hiyo
(Picha zote ni kwa hisani ya Full Shangwe Blog)

Wednesday, January 25, 2012

HEALTH FACTS.....

WASH BEFORE WEARING....
It is horrible. Guys tell your wife, sisters, girlfriends, and girl cousins wash bra before wearing.

ALL PLEASE WASH ALL BRAS, UNDERWEAR WHEN YOU BUY BEFORE WEARING THEM. WE DO NOT KNOW WHAT PARASITE IS IN OUR CLOTHES WHEN WE BUY THEM. FORWARD TO EVERYBODY YOU KNOW. LET ME FORE WARN YOU THIS IS SO SQUIMISH, I FEEL LIKE SOMETHING IS CRAWLING ALL OVER ME EVEN AS I SEND THIS TO YOU. BE AWARE. IT IS SO GROTESQUE. PLEASE WASH YOUR UNDERWEAR BEFORE WEARING. PREFERABLY IN BOILING HOT WATER.

This is not for the weak; I have never seen anything like this. Read the article first before looking at the picture and film. This looks horrible. Oh my God!!!!!!! Ladies this could happen to you and Guys this could happen to your wife, girlfriend, partner so please BEWARE,and also warn others.

It has been reported that this is happening in Kenya as well, please make sure you iron your undergarments before you wear them and make sure that your clothes are ironed when they are dry and not damp. The picture is horrible but I felt that I should share with you. After anthropologist Susan McKinley came back home from an expedition in South America, she noticed a very strange rash on her left breast. Nobody knew what it was and she quickly dismissed it believing that the holes 
would leave in time. Upon her return she decided to see a doctor after she started developing intense pains. The doctor, not knowing the exact severity of the disease, gave her antibiotics and special creams. As time lapsed the pain did not subside and her left breast became more inflamed and started to bleed.

She decided to bandage her sores however as Susan's pain grew more intense she decided to seek help from a more certified doctor. Dr. Lynch could not diagnose the infection and told Susan to seek the aid of one of his colleagues who specialized in dermatology whom was sadly on vacation. She waited for two weeks and finally was able to react the dermatologist.

Sadly,a life changing event was about to unfold during her appointment.
To Miss McKinley's surprise, after she removed the bandages, they found larva growing and squirming within the pores and sores of her breast. Sometimes these wicked creatures would all together simultaneously move around into different crevices.

What she didn't know was that the holes were in fact, deeper than she had originally thought for these larvae were feeding off the fat, tissue, and even milk canals of her bosom.


Wednesday, January 4, 2012

Breaking News.......................!

CUF YAMTIMUA UANACHAMA MH. HAMAD RASHID


Mbunge wa chama cha CUF jimbo la Wawi Hamad Rashid leo jioni hii amesimamishwa uanachanma na mkutano wa Halmashauri kuu ya chama hicho.

Tuesday, January 3, 2012

Wahanga wa Mafuriko....

CUF YATOA MISAADA KWA WAATHIRIKA WA MAFURIKO YA JANGWANI


Naibu Katibu Mkuu, Chama cha Wananchi (CUF), Bw. Julius Mtatilo (kushoto), akikabidhi msaada wa mfuko wa unga wa sembe jana kwa Ofisa Mtendaji wa Kata ya Kigogo, Bw. Emmanuel Riwa, kwa waathirika wa mafuriko yaliyotokea Dar es Salaam hivi karibuni.