Advert


java

Connectify - Turn Your PC into a Wi-Fi Hotspot. Install now!

Thursday, March 10, 2011

KWARESMA. NJEMA...!

WAKRISTO WOTE DUNIANI WAINGIA KATIKA KIPINDI CHA KWARESMA.

Waumini wa madhehebu ya kikristo duniani kote wameanza kipindi cha kwaresma ambacho kwa kawaida huwadia kabla ya sikuu ya Pasaka. Tatika kipindi hiki cha mwazi huu wa toba, wakristo wanatakiwa kuacha maovu na kutenda mambo mema yampendezayo Mungu.

Na mimi kaka Adebayor napenda kuwatakia mafanikio yenye baraka Wakristo wote duniani katika kipindi hiki cha toba na mfungo wa kwaresma.

No comments:

Post a Comment