CHADEMA WANATISHA
Hotuba ya mwisho wa mwezi ya Mh. Jakaya Mrisho Kikwete kwa Wananchi
Baadhi ya mambo muhimu aliyoyaongelea Rais katika hotuba ya mwezi huu ni
- Milipuko ya mabomu Gongo la Mboto-Uchunguzi unaendelea kwa kushirikisha wataalamu wa nje.
- Hali ya Chakula nchini-Upungufu wowote wa chakula utadhibitiwa
- Bei ya sukari-itadhibitiwa ambapo kilo moja itauzwa Tshs/=1,700 na sio zaidi ya hapo kuanzia mwezi May.Kwa sasa,serikali imetoa kibali ili kuagizwa kwa sukari kutoka nje.Haitotozwa ushuru wa forodha ili iweze kuuzwa kwa bei nzuri.
- Hali ya Umeme-Mambo Bado
- Hali ya usalama wa nchi-Aelekeza lawama kwa CHADEMA; Kauli zao,maandamano yao yanachochea ghasia,machafuko.Atoa “shule” kwa viongozi wa CHADEMA juu ya nini cha kufanya baada ya Uchaguzi.Asema CHADEMA wanataka kuipeleka nchi pabaya kwa uchu wao wa madaraka.
No comments:
Post a Comment